Sauti Ya Cabo Delgado 11.01.2022
--:--
Habari yako, karibu kwenye simulizi ya sauti ya Cabo Delgado ya 11 Januari,2022, sauti ya Cabo Delgado ni nafasi ya habari iliyopewa mkoa wa Cabo Delgado ilyotengenezwa na Plural Media kwa kushirikiana na mradi wa Cabo Ligado
Zifuatazo ni mahada za habari.
🔸Watu watatu waliachua na wanafamilia bahada ya shambulizi huko Meluco.
🔸Makubaliano yatiwa saini Kati ya Msumbiji na Rwanda kupanua wanajeshi wa Rwanda huko Cabo Delgado.
🔸Watu milioni 1.1 watakabiliwa na njaa kaskazini mwa Msumbiji.
Endelea kupata habari za mkoa wa Cabo Delgado kupitia kurasa zetu za Facebook telegram na program yoyote ya podcast.
Pokea habari kila siku kwenye WhatsApp kwa kutuma ujumbe +25884325766 Keisha uchague lugha yako Kati ya kireno Emakwa Shimakonde kimuani au kiswahili.
Plural Media habari kwa lugha yako.
Zifuatazo ni mahada za habari.
🔸Watu watatu waliachua na wanafamilia bahada ya shambulizi huko Meluco.
🔸Makubaliano yatiwa saini Kati ya Msumbiji na Rwanda kupanua wanajeshi wa Rwanda huko Cabo Delgado.
🔸Watu milioni 1.1 watakabiliwa na njaa kaskazini mwa Msumbiji.
Endelea kupata habari za mkoa wa Cabo Delgado kupitia kurasa zetu za Facebook telegram na program yoyote ya podcast.
Pokea habari kila siku kwenye WhatsApp kwa kutuma ujumbe +25884325766 Keisha uchague lugha yako Kati ya kireno Emakwa Shimakonde kimuani au kiswahili.
Plural Media habari kwa lugha yako.